MVIWAARUSHA wafanya mkutano mkuu wa 12

MVIWAARUSHA wafanya mkutano mkuu wa 12

Wanachama wa MVIWAARUSHA wakiwa kwenye mkutano mkuu wa 12, iliyofanyika tarehe 13.12.2024
Viongozi wa kamati ya uongozi, bodi ya wadhamini wakiwa kwenye picha ya pamoja na Mgeni rasmi Ndg. Daniel Loiruck wakati wa mkutabno mkuu wa 12
Damian Sulumo – afisa programu akiwasilisha taarifa ya utekelezaji kwa wanachama
Mratibu wa MVIWAARUSHA, Ndg. Richard Masandika akisoma mukhtasari wa mkutano mkuu uliopita mbele ya wanachama kwenye mkutano mkuu wa 12
Daniel Elibariki- afisa fedha na utawala wa MVIWAARUSHA akisoma taarifa ya mapato na matumizi kwenye mkutano mkuu wa 12
Viongozi wapya waliochaguliwa kwenye mkutano mkuu

Ijumaa ya tarehe 13, December 2024 ilikuwa siku kubwa kwa Mtandao wa vikundi vya wakulima na wafugaji mkoa wa Arusha, ambapo walikutana wanachama kwenye mkutano mkuu wa mwaka ili kujadili na kupanga maendeleo ya taasisi

Katika mkutano huo ulifanyika ukumbi wa New Life Hall njiro, wanachama pia wamechagua viongozi wapya watakaoongoza kwa miaka mitatu ijayo.

Katika uchaguzi huo, Mzee Anderson Sikawa amechaguliwa kuwa mwenyekiti wa MVIWAARUSHA, akisaidiwa na Veronika Mungai kama makamu mwenyekiti, Huku Gabriel Mwarabui akiwa mweka hazina.

Share this post

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *